Psalms 48:1-3

Sayuni, Mji Wa Mungu

(Kwa Mwimbishaji: Zaburi Ya Wana Wa Kora)


1 a Bwana ni mkuu, anayestahili kusifiwa sana,
katika mji wa Mungu wetu,
mlima wake mtakatifu.

2 bNi mzuri katika kuinuka kwake juu sana,
furaha ya dunia yote.
Kama vilele vya juu sana vya Safoni
Safoni inaweza ikawa na maana ya mlima mtakatifu au upande wa kaskazini.
ni Mlima Sayuni,
mji wa Mfalme Mkuu.

3 dMungu yuko katika ngome zake;
amejionyesha mwenyewe kuwa ngome yake.

Copyright information for SwhKC